Tuesday, July 21, 2015

BIASHARA YA MTANDAO NA NEPTUNUS

    NEPTUNUS NI  NINI?

Ni kampuni iliyo anzishwa mwaka 1989 baada ya viwanda vitatu vya umma kuungana. Viwanda hivi hujishugulisha na kutengeneza dawa za mahospitalini(natural drugs) yani dawa asili. Viwanda hivi ni NEPSTAR CHAIN DRUGSTORE CO. LTD kipo new york stock exchange marekani, NEPTUNUS BIO-ENGINEERING CO LTD kipo shenzhen stock exchange na NEPTUNUS INTERLOG BIOTECHNIQUE CO LTD kipo hongkong. Hayo matatu ni masoko ya hisa ya kampuni ya neptunus. Kampuni hii ilianza kuzalisha dawa kabisa za kutibu magonjwa sugu na virutubisho mbalimbali ambazo leo ni changamoto kubwa duniani kwani mwaka 1998 kampuni hii ilitunikiwa tuzo ya GMP(Great manufacturer Company) hii ni kwa sababu ilitunikiwa tuzo miaka mitatu mfululizo za NOBEL kutokana na bidhaa ya GOLDEN OYSTER na GINKARDIO suluhisho la pressure. Ndio mana nina penda kukuambia kua kampuni ina bidhaa bora jaribu kuchunguza kampuni zote zinazofanya MLM hapa Tanzania. Hazina tuzo hii ya GMP nina uhakika bidhaa ziko kutimiza malengo ya mteja na mfanya biashara anae taka kutimiza ndoto.
Mwaka 2010 kampuni hii iliweka mikakati kuja kuisaidia AFRICA katika nyanja ya KIUCHUMI na kutokomeza MAGONJWA SUGU. Ndugu yangu kama wewe unahitaji pesa na kutimiza ndoto karibu utumie bidhaa hizi.
Kampuni hii ilikaa chini na kupanga MIKAKATI chini ya usimamizi wa Ndug ZHANG SIMIN ambaye ni kijana mdogo aliyezaliwa mwaka 1969 na ni tajiri mkubwa sana china na anae miliki kampuni kubwa bora china nzima.
Bwana ZHANG SIMIN alikaa chini na kuangalia makampuni mengine yaliyoko africa yalikuja na mtazamo gani na udhaifu gani katika bidhaa na biashara. Iliingia africa ikajenga makao makuu kila kanda GHANA,SOUTH AFRICA,KENYA,TANZANIA na Ikasambaa nchi zingine.
MAREKEBISHO YALIYOFANYWA NA KAMPUNI YA NEPTUNUS AMBAYO WATU BADO HAWAJAGUNDUA.
Watu wengi tunajiingiza katika biashara ya mtandao bila kutengeneza msingi mzuri wa biashara na bila kuchunguza kampuni unayofanya nayo kazi. Leo hii nakupa siri ya utajiri iliyopo neptunus haijagundulika.
1. Ni kampuni ambayo inatengeneza dawa katika package za kisasa yaani SOFT GEL,CAPSULES,TABLETS. Dawa zote hizi zinatokana na mimea, matunda,samaki,na mboga mboga. Hizi ni 100% natural hazina chemical kabisa pia hawatumii vyakula na matunda ya kutengenezwa. Wanatumia mimea asilia. Hatuna MAJI,MAJANI YA CHAI NA BIDHAA ZINGINE ZA KUONGEZA MAUMBILE.
2. Ni kampuni ya pekee yenye DAWA  kabisa za kutibu magonjwa TABIA wakati kampuni zingine zote zina VIRUTUBISHO TU. Njoo utumie dawa zetu kufanya biashara hakika HUTAJUTA. Dawa zetu zipo nyingi kila dawa na ugonjwa wake. 
3. Ni kampuni ya pekee unaweza kutumia shilingi 26000 na ukaanza kufanya biashara yako kwa kuingia ubia na kupewa ruhusa ya kufanya kazi na kampuni ya neptunus. Kampuni zingine zina gharama kubwa hivyo ndio mana ika amua ije na mfumo huu. Pia unaweza kununua bidhaa hata moja moja sio package tu kama makampuni mengine.
FAIDA YA KUWA MSAMBAZAJI WA BIDHAA HIZI NA KUWA MFANYA BIASHARA WA MLM WA NEPTUNBUS.
Watu wengi sana wamekata tamaa na biashara hii ya MLM hii ni kwa sababu ya kukosea kampuni ya kufanya nayo kazi. Sasa leo nakwambia uhondo wa neptunus karibu sana tufundishane.
1. Ukisha jiunga utaruhusiwa kutumia bidhaa za neptunus kuuza kwa watu na kujipatia faida ya reja reja 20%
2. Unaruhusiwa kudhamini watu wengi kadri uwezavyo kwani hao watu watalipwa na kampuni sio wewe. Hivyo wewe  toa elimu kadri uwezavyo na uwafundishe hao wafanye biashara. Kampuni hii itakulipa kwa watu ulio wadhamini kwenye biashara kama manager wa team yako.
3. Utalipwa bonus kila mwisho wa mwezi asilimia 5-45 ya PESA ULIYOTUMIA KUNUNUA BIDHAA MWEZI HUO WEWE MWENYEWE. Pia utalipwa asilimia 0-45 ya pesa ambayo team yako imetumia kununua katika mwezi huo. Hapa ndipo kuna utamu rahaaaaaa ndugu zangu. Hivi kweli ndoto zako za kuwa manager zinatimia kwa kutumia 26000/=
[22:23, 4/30/2015] Frank Ndyanabo: 4.kampuni hii kadri unavyopanda cheo/level itafika kipind utapunguza nguvuvza kununua mzigo.kwa mfano.kampuni zingine unavyokuw na kipato kikubwa na gharama za kukaa katika level zinaongezeka 
5.pia mashart ya kupanda level kuongeza kipato ni marahisi kabisa hata mtu mwenye kipato kidogo anaweza kufanya biashara akafanikiwa
6.pia kampuni itakulipa m.20 kama kiinua mgongo kwa kufanya kazi ndani ya mwaka mmoja na mwez mmoja na ukafika ngazi ya7.
7.pia kampuni itakupa kiinua mgongo tena cha sh m.40 ukifanya nayo kazi kwa miaka miwili na ukifika level ya 8
>>JUMLA YA KIINUA MGONGO CHAKO NI M.60 NDANI YA MIAKA MIWILI HII PESA NI MBALI NA BONUS NA FAIDA YA REJAREJA.

MWISHO
Ewe mtanzania uliye na ndoto ya kufanya biashara ila tatizo ni mtaji,pia kwa wewe unaefikiria ni biashara gani utafanya kwa mtaji ulionao,napenda kukuarika katika biashara hii yenye mafanikio,imewatoa wengi kwenye umasikini na sasa ni watu mashuhuri hapa duniani.Pia kwa wewe ambaye umeshawahi kufanya biashara hii na ukafeli,napenda kukuambia kuwa labda kilichokufelisha ni elimu ndogo juu ya kuifanya hii biashara au kutokujituma kwako,lakini kama haya yote sio sababu,basi kampuni ulilokua umeingia nalo ubia halina uwezo wa kumkuza mtu kibiashara.
Hivyo napenda kuwaalikeni wote katika fursa hii uweze kujifunza biashara na uweze kubadilisha maisha yako.TIMIZA NDOTO ZAKO NA NEPTUNUS KWANI NDIO KAMPUNI PEKEE INAYOWEZA KUMNUFAISHA MTANZANIA YEYOTE.

TUPIGIE : 0768 308 740 /0673 308 740.
E-MAIL ; bnjige@gmail.com

Sunday, July 19, 2015

IFAHAMU BIASHARA YA MTANDAO ITABADILI MAISHA YAKO. NETWORK MARKETING( BIASHARA YA MTANDAO ).


Hii biashara ilianza mwanzoni mwa karne ya ishirini miaka ya 1920s huko Marekani kupitia kiwanda kimoja kilichokuwa kikijihusisha na utengenezaji wa virutubisho vya mwili,kiwanda hicho kilianzisha mfumo wa kuwalipa fidia wateja waliokuwa wakizinunua bidhaa zao,pia iliwalipa watu waliofanikiwa kuwaingiza watu wapya katika mtandao wa ununuaji na usambazaji wa bidhaa za kiwanda hicho.Kupitia mfumo huu kiwanda hicho kiliweza kukua kwa kasi sana kitu kilichosababisha wafanya biashara wakubwa wengine wajiunge na mfumo huu na kufungua makampuni mbalimbali yaliyoanza kufanya biashara kwa kutumia mfumo huu.Mpaka sasa hivi karibia watu laki moja wanajiunga na mfumo huu wa biashara kila wiki nchini marekani,na zaidi ya watu milioni mia tisa kumi na tano wanafanya na hii biashara duniani kote

BIASHARA HII NI NINI HASA!!!!!!!

Biashara hii kama nilivyosema hapo mwanzo ni mfumo wa biashara ambao mbali na kumlipa mwanachama (member) wa kampuni pindi anunuapo bidhaa kila mwezi,mwanachama huyo pia hulipwa aingizapo mwanachama mpya na pia hulipwa kila mwezi kutokana na manunuzi ya mwezi mzima.Hii inamaanisha kuwa mbali na mwanachama kujiingizia faida ya reja reja kupitia mauzo ya bidhaa anazonunua moja moja kutoka kiwandani pia atarudishiwa asilimia flani ya manunuzi yake (bonus) kila mwezi kulingana na jumla ya manunuzi yake kwa mwezi,pia kampuni itamlipa yeye akiwa kama ''upliner'' kwa manunuzi yatakayofanywa na wanachama aliofanikiwa kuwaingiza katika kampuni lake analofanya nalo biashara.
Wanayabiashara wengi duniani wanausapoti mfumo huu,watu kama kina Robert Kiyosaki,Michael Loise,Jim Rhon,,James Mang'amba na wengine wengi ni watu waliofanikiwa kupitia mfumo na kupitia biashara hii wanajiingizia mamilioni ya pesa kila mwezi,na wanatoa mafunzo mbali mbali kuhusiana na biashara hii.

FAIDA YA BIASHARA HII.

Kuna faida mbali mbali katika biashara hii ya mtandao lakini kwa leo nitaongelea faida chache tu za mhimu mtu anazoweza kuzipata kama ataamua kuifanya biashara hii.
1 :Utafanya biashara hii hata kama ukiwa nyumbani au mahali popote.
Biashara unaweza ifanaya ukiwa mahali popote hata kama ni nyumbani,ofisini au safarini.Unaweza ifanya kupitia simu yako au komputer yako kuwasiliana na wateja wako ,kutafuta wateja au kutangaza bidhaa zako,ndio maana wanasema biashara ya mtandao ni biashara ya karne ya ishirini na moja kwa sababu hii ni biashara inayotumia mfumo wa kisasa wa kiteknolojia,haihitaji mpaka ufungue duka au upeleke bidhaa sokoni,ofisi yako ni simu yako,computer au notebook.Pia haijalishi uwe ni mama wa nyumbani mwenye majukumu ya kulea familia au mwajiriwa wa ofisini unaweza ifanya kwa mda wowote unaokua huru kwa kutafuta wateja aukujenga team yako.
2 :Inakupatia vipato vitatu kwa wakati mmoja.
Unapofanya biashara hii unajiingizia vipato vya aina tatu kwa wakati mmoja.itakupatia kipato cha rejareja kwa bidhaa unazouza,pili itakupatia bonus za kila mwezi kulingana na jumla ya manunuzi yako na pia inakupatia bonus ya manunuzi ya team uliyotengeneza,biashara tulizozizoea zinaingiza kipato cha rejareja tu,ila hii inakupatia vyote hivi.Pia unaweza endelea jiingizia mshahara kutoka katika kazi uliyoajiriwa wakati ukiendelea jiingizia vipato hivyo vitatu kutoka katika hii biashara.
NOTE ;Kila company ina vigezo vyake katika kukulipa bonus,na kiwango cha malipo hivyo inakupasa kwanza kufanya uchunguzi na kufahamu ni kampuni gani inayokufaa. 
3 :Inakuingizia kipato hata kama unaumwa au upo likizo.
Utaweza jiingizia kipato hata kama unaumwa au upo likizo kupitia team uliyotengeneza.Hapa ndio faida kubwa katika hii biashara,ajira haina warrant unapougua mwajiri awezi kukuvumilia mwaka mzima,duka lako unapougua ukilifunga hakuna kipato chochote kitakachoingia,lakini hii biashara uugue au hata kama umeamua kwena likizo bado mfereji wa hela ulioutengeneza kupitia team yako utaendelea kukuingizia pesa,je ni kazi gani au biashara gani nyingine itakayokuingizia kipato hata kama haujatumia nguvu yako tofauti na hii?,ndio maana nakwambia ukifanya biashara ya mtandao unaweza kustafu hata kama bado kijana(una nguvu).
4 :Inakusaidia kuepuka makato ya kodi.
Katika ajira na biashara za kawaida unalipa kodi kulingana na mshahara au kipato unachoingiza kwa mwezi,mshahara ukiwa mkubwa na kodi inaongezeka,biashara ikiwa kubwa pia makato ya kodi yanakuwa makubwa.Hivyo ni vigumu kwa mfanya kazi kuhifadhi sehemu ya mshahara wake kwa ajiri ya maendeleo kutokana na makato na ni vigumu pia kuanzisha biashara ya duka kama huna uhakika mzunguko wa biashara utakuawa kama utakua mzuri kwa sababu TRA watakufirisi.Lakini katika hii biashara TRA utakua unawasikia kwenye redio kwani hawatakuhusu kabisa kupitia biashara hii,hii ni kwasababu bidhaa zako zinalipiwa kodi na kampuni unalofanya nalo kazi pindi zinaingia nchini hivyo hutapaswa tena kulipa kodi.
5 :Unaweza ianza biashara hii kwa mtaji mdogo kabisa.
Kila kampuni linalojihusisha na biashara ya mtandao lina utaratibu wake
wa gharama za kuanzia katika biashara hii.Hivyo ni jukumu lako kuangalia ni kampuni gani litakufaa kuanza nalo biashara kwa mtaji ulionao,lakini kitu cha msingi katika hii biashara mtaji wa kuanzia ni mdogo sana ukilinganisha na jinsi mtu anayetaka kufungua duka au biashara nyingine.Pia unauwezo wa kuukuza mtaji wako mpaka ukawa mkubwa kwa mda mfupi kulingana na malengo uliyojiwekea.
6 :Inakupa uwezo wa kuchagua ni watu gani unaohitaji kufanya nao kazi.
Biashara ya mtandao inakupa uwezo wa kuchagua watu unaowahitaji kufanya nao biashara yako,katika biashara hii utaweza kuwa huru kuchagua watu unaoona wanafaa katika biashara yako,hii itakupa nguvu ya kibiashara kwasababu utafaya kazi na watu ambao unaona wanakufaa.
7:Unapata mafanikio kupitia kuwawezesha wengine.
Je,ushawahi kupewa shukrani kwa kumpa mtu njia ya mafanikio?,je,ushawahi kuwa kioo ambacho watu wanatumia kujitathmini katika jamii yako?,na ushawahi kuwa furaha ya watu wanaokuzunguka?.Biashara hii itakuwezesha kuwa msaada kwa watu wote wanaohangaika kwa kukosa ajira,wanaolipwa mshahara mdogo,wanaopata mateso kazini na ambao wanafanya kazi ambazo hazikua ndoto zao,wote hawa utawasaidia kwa kuwapa hii fursa ili wafanikiwe wakati huo huo wakikufanya nawe ufanikiwe,inapendeza sana eeh!!!
Zipo faida nyingi sana zinazohusiana na hii biashara ila kwa leo ningependa niishie hapo,napenda kukukaribisha wewe uliyechoka maisha ya kuranda randa kutafuta kazi,unayefanya kazi katika mazingira ya mateso na wewe uliyechoka maisha ya kukaa nyumbani bila shughuri yeyote,karibu uyabadili maisha yako kwa kuongeza thamani katika jamii yako.Kwa msaada zaidi wasiliana nami BONIVENTURE JOACHIM kwa njia zifuatazo;

Simu /watsup
: 0768-308740
E-mail : bnjige@gmail.com

IF YOU DON'T TAKE RISK YOU WILL WORK FOR THOSE WHO TAKES IT.


Watu wengi huogopa kuchukua maamzi magumu ya kimaendeleo kwa sababu wanaogopa kushindwa au kupata hasara katika kufanikisha mambo wanayotamani kuyafanya au kuyapata..Huofia huenda wakapata hasara itakayopelekea kupoteza hata kile kidogo walichonacho na hivyo kubakia wakitamania mambo mazuri.
Katika dunia hii watu wote waliofanikiwa ni watu ambao waliamua kuthubutu kuyafanya yale waliokuwa wanataka wayafanye,watu hawa ndio walio fanikiwa na leo hii kila mtu anatamani mali na utajiri walio nao.Mfano mzuri ni kama vile ROBART KIYOSAKI,huyu ni mjasiriamali mkubwa duniani ambaye watu wengi wanayatamani mafanikio yake,kwa sasa kwa mwezi mmoja anaingiza karibia $ 2 MIlLIONS (dola milion mbili) ambazo kwa thamani ya kitanzania ni shilingi 3,400,000,000 (yaani bilioni tatu na milioni mia nne).Mbali na kutoka katika familia ya kisomi aliona kuwa elimu ya shule isinge msaidia katika kufanikisha ndoto zake hivyo aliamua kujiingiza katika biashara ambayo mara nyingi alifeli ila hakukata tamaa kwasababu hakuogopa kuthubutu.Leo hii anamiliki miradi mingi na mikubwa sehemu mbalimbali duniani na kaajili watu wengi wenye elimu zao.
Mafanikio yanawapata watu wanaothubutu kwani hao hawakuogopa kufeli hivyo kama wewe unaogopa kufeli huwezi kufanikiwa kwasababu huwezi kutubutu.Wasomi wengi kwa sasa wapo mtaani wakiangaika kutafuta kazi maofisini bila mafanikio na kubaki wakiulaumu mfumo mbaya wa serikali,kutokana na fikra zao potofu wanashindwa kuyatumia mazingira yanayowazunguka ili wajiajili wenyewe,katika hii dunia hata kama kama umezungukwa na mawe unaweza kuyageuza mawe kuwa raslimali yako na kukuingizia kipato,itategemea na wewe unayoyachukuliaje hayo mawe.Kama unamalengo ya kufanikiwa na kuwa na uhuru wa pesa hakuna kazi ya kuajiriwa itakayokupa uhuru wa pesa kulingana na mfumo wa dunia unaohusiana na ajira.
Kama unahitaji mafanikio na kuwa na uhuru wa pesa thubutu kufanya kile ambacho unatamani kukifanya leo bila kujarisha upo kazini,haupo kazini,umesoma,haujasoma kwa sababu mafanikio ya pesa yanatokana na jinsi ya wewe unavyoweza kuiwekeza pesa hata kama ni kidogo ili ije kujizalisha na sio wewe unaingiza shilingi ngapi kwa mwezi kwan hata kama unaingiza milioni moja kwa mwezi na matumizi yako ni laki tisa na nusu kwa mwezi huwezi fanana na anaeingiza shilingi laki tano na matumizi yake kwa mwezi ni laki mbili kwa mwezi.
Wekeza pesa yako sasa katika biashara ili uje uwe na uhuru wa pesa zitakazokufanya utimize ndoto zako kwa sababu kama ukiogopa kuthubutu utakuja kuwatumikia wale walioamua kuthubutu.

SCHOOL DID'NT TRAIN YOU TO BE BUSINESS OWNER IT TRAINED YOU TO BE IMPLOYED FOR RICH.


Hellow wapendwa natumaini wote mu wazima na kwa wale ambao hampo sawa poleni na naamini Mungu atawapa uponyaji.Siku ya leo nimependa tujifunze ni jinsi gani mfumo wa elimu ambavyo unatujenga tuwe wategemeaji kwa kutujenga kuja kuajiriwa na sio kujiajiri sisi wenyewe.
Katika mfumo wa elimu Tanzania na duniani kwa ujumla hakuana mtaala unaomjenga mtu kuja kujiajiri mwenyewe bali unamtengenezea mwanafunzi mazingira ya kuja kuajiriwa,kwa mfano,nilikutana na mwanafunzi aliyehtimu shahada ya kwanza biashara akilalamika katafuta kazi bila mafanikio,nilipomuuliza kwani huwezikwa kutumia elimu uliyonayo juu ya biashara kujiajiri mwenyewealidai tatizo ni mtaji.Hapo ndipo nilipogundua kumbe hata wanaosomea biashara wapo sawa kama waliosomea shahada nyingine.
Mfumo wa elimu haumfundishi mwanafunzi kuja kujiajiri bali unamfundisha mtu kuja kuwatumikia matjiri(wafanya biashara),kwa mfano unakuta mtu kasomea uhandisi ila kaajiriwa katika kampuni la uhandisi la mfanyabiashara aliyeishia form four,na anafurahia hiyo kazi kwa kuona analipwa kipato kikubwa bila kujua kwamba yeye anamuingizia mara themanini au tisini mwajiri wake.
SIku hizi wafanyabiashara wakubwa kama kina Bakhresa wanawatumia wasomi kwa kununua projects proposal mbali mbali na kuzifanyia kazi zinazowaingizia mabilioni ya pesa na unakuta aliyeiuza hiyo proposal anafurahia kisa amaelipwa milioni ishirini au thelasini.
Mafanikio ya mtu yanaangaliwa katika pesa na jinsi gani anatumia akili yake katika kukikuza kipato chake,hapa haijarishi kichwani kwako umebeba degree ngapi,unakuta mtu anapata fursa ya kufanya biashara anadai hawezi ichafua degree yake kwa kufanya biashara za kijinga wakati kina pinda na uwaziri wao wanawekeza mpaka mashambani ambapo ndio panaonekana pa walala hoi.Tumia elimu uliyonayo kukikuza kipato chako,hata kama unaajira usitegemee utakaa kwenye ajira miaka yote siku utakapoishiwa nguvu hajkuna atakayeangalia umesomea chuo gani wala nchi gani kwa sababu hautakua na faida yeyote,na kama unasubiria pensheni ndio ikutajirishe unajidanganya kwasababu nguvu unayoitumia inatengebneza mamilioni ya pesa kwa mwajiri wako na hiyo pesheni yako ni vijisenti tu katika rundo la pesa ulilotengeneza.
Kuanza biashara haijarishi una shilingi ngapi mfukoni kwani unaweza izalisha shilingi hamsini uliyonayo ikawa mia,elfu na mwisho wa siku ukawa mfanya biashara mkubwa,kuwa tajiri haijarishi kiasi kiasi kikubwa cha pesa unachotengeneza kwa mwezi bali unawekeza kiasi gani cha kipato chako katika miradi.

JE UNASUMBULIWA NA KISUKALI?


Miongoni mwa magonjwa sugu yanayoendelea kuathiri afya za mamilioni ya watu katika nchi nyingi duniani zikiwemo za bara la Afrika ni ugonjwa wa kisukari. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu milioni 285 wanasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari duniani ambapo karibu asilimia 90 ya wagonjwa hao wana aina ya pili ya kisukari. Jambo la kusikitisha zaidi ni kuwa, idadi ya watu wenye kisukari inaongezeka kwa kasi na wataalamu wanasema kuwa, ifikapo mwaka 2030 idadi hiyo itaongezeka maradufu. Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wa kisukari katika nchi za Asia na Afrika, na inasemekana idadi hiyo inatokana na kukua miji na mabadiliko ya maisha ya watu katika nchi zinazoendele, na labda kutokana na kuiga mifumo ya maisha ya Kimagharib
Ugonjwa wa kisukari au Diabetes Mellitus hutokea pale tezi kongosho au pancrease inaposhindwa kutengeneza homoni au kichocheo aina ya Insulin, au pale mwili unaposhindwa kutumia vizuri kichocheo hicho cha insulin na kusababisha kuongezeka kiwango cha sukari kwenye damu au kitaalamu hyperglycemia. Insulin ni kichocheo au homoni inayotengenezwa na kongosho ili kudhibiti sukari katika damu. Ugonjwa wa kisukari unaweza kusababishwa kuwa na kiwango kidogo cha Insulin mwilini, mwili kutosikia kichocheo hicho au yote mawili.

Nimefanya utafiti kwenye Biblia kuhusu utajiri na umasikini; "case study" nimetumia tajiri wa kupindukia; Mzee Ibrahim na masikini wa kupindukia; Bw. Lazaro. Kuna mambo matatu nikagundua. Mosi, wote wawili walifanikiwa kuingia mbinguni. Kwa hiyo wanaojifariji kuwa "matajiri", hawaingii mbinguni, inabidi watambue kuwa wafanyabiashara na matajiri wakubwa wa kwenye Biblia wanakula "maisha" Mbinguni kwa raha zao; kuanzia Ibrahim, Akila, Mfalme Suleiman, Ayubu, Dorkasi na wengine kibao. Pili ni maisha waliyoishi (Ibrahim na Lazaro) duniani. Wakati Ibrahim alikuwa akila na kusaza; tunaambiwa Lazaro alikuwa "anagongea" makombo kwa yule tajiri. Kwa hiyo Ibrahim aliishi kwa "kutanua" duniani wakati Lazaro aliishi maisha ya "kupigika kinoma". Tatu ni walipofika Mbinguni. Tunaambiwa masikini alipumzishwa kifuani mwa Ibrahim. Kuna vipengele viwili nikaviona hapa. Cha kwanza ni kuwa mtu anaepumzishwa ni yule aliyechoka. Lazaro ni kweli aliingia mbinguni lakini akiwa amechoka na kupigika(kutokana na mateso ya umasikini wa duniani) Cha pili ni kwamba Ibrahim alipewa nafasi(kiti) Mbinguni lakini masikini Lazaro hakuwa na pa kukaa ndio maana ikabidi "agongee" kifuani mwa Ibrahim. Kwa hiyo nikagundua kwamba Lazaro aliishi kwa kupigika duniani na bado "akawa wa kugongea" Mbinguni. Wakati Ibrahim aliishi kwa "matanuzi duniani" na bado akaendelea "kujinafasi" Mbinguni. Baada ya hayo nikajiuliza, "nifanyeje?" Nikagundua tena kumbe Biblia ni kitabu cha machaguo; mbele yamewekwa mema na mabaya, unaloamua kuchagua ndilo unalolipata. Ukichagua U-Lazaro unakuwa Lazaro kwa tabu zako, ukichagua U-Ibrahim basi unajiwea Ibrahim kwa raha zako. Mimi nimeamua kuchagua U-Ibrahim; ijapokuwa uwe masikini ama tajiri kiuchumi, maadam unamjua Mungu na kuishi maisha ya utakatifu, Mbinguni utaingia.

IFAHAMU BIASHARA YA MTANDAO ITABADILI MAISHA YAKO. NETWORK MARKETING( BIASHARA YA MTANDAO ).


Hii biashara ilianza mwanzoni mwa karne ya ishirini miaka ya 1920s huko Marekani kupitia kiwanda kimoja kilichokuwa kikijihusisha na utengenezaji wa virutubisho vya mwili,kiwanda hicho kilianzisha mfumo wa kuwalipa fidia wateja waliokuwa wakizinunua bidhaa zao,pia iliwalipa watu waliofanikiwa kuwaingiza watu wapya katika mtandao wa ununuaji na usambazaji wa bidhaa za kiwanda hicho.Kupitia mfumo huu kiwanda hicho kiliweza kukua kwa kasi sana kitu kilichosababisha wafanya biashara wakubwa wengine wajiunge na mfumo huu na kufungua makampuni mbalimbali yaliyoanza kufanya biashara kwa kutumia mfumo huu.Mpaka sasa hivi karibia watu laki moja wanajiunga na mfumo huu wa biashara kila wiki nchini marekani,na zaidi ya watu milioni mia tisa kumi na tano wanafanya na hii biashara duniani kote.
BIASHARA HII NI NINI HASA!!!!!!!
Biashara hii kama nilivyosema hapo mwanzo ni mfumo wa biashara ambao mbali na kumlipa mwanachama (member) wa kampuni pindi anunuapo bidhaa kila mwezi,mwanachama huyo pia hulipwa aingizapo mwanachama mpya na pia hulipwa kila mwezi kutokana na manunuzi ya mwezi mzima.Hii inamaanisha kuwa mbali na mwanachama kujiingizia faida ya reja reja kupitia mauzo ya bidhaa anazonunua moja moja kutoka kiwandani pia atarudishiwa asilimia flani ya manunuzi yake (bonus) kila mwezi kulingana na jumla ya manunuzi yake kwa mwezi,pia kampuni itamlipa yeye akiwa kama ''upliner'' kwa manunuzi yatakayofanywa na wanachama aliofanikiwa kuwaingiza katika kampuni lake analofanya nalo biashara.
Wanayabiashara wengi duniani wanausapoti mfumo huu,watu kama kina Robert Kiyosaki,Michael Loise,Jim Rhon,,James Mang'amba na wengine wengi ni watu waliofanikiwa kupitia mfumo na kupitia biashara hii wanajiingizia mamilioni ya pesa kila mwezi,na wanatoa mafunzo mbali mbali kuhusiana na biashara hii.
FAIDA YA BIASHARA HII.
Kuna faida mbali mbali katika biashara hii ya mtandao lakini kwa leo nitaongelea faida chache tu za mhimu mtu anazoweza kuzipata kama ataamua kuifanya biashara hii.
1 :Utafanya biashara hii hata kama ukiwa nyumbani au mahali popote.
Biashara unaweza ifanaya ukiwa mahali popote hata kama ni nyumbani,ofisini au safarini.Unaweza ifanya kupitia simu yako au komputer yako kuwasiliana na wateja wako ,kutafuta wateja au kutangaza bidhaa zako,ndio maana wanasema biashara ya mtandao ni biashara ya karne ya ishirini na moja kwa sababu hii ni biashara inayotumia mfumo wa kisasa wa kiteknolojia,haihitaji mpaka ufungue duka au upeleke bidhaa sokoni.
2 :Inakupatia vipato vitatu kwa wakati mmoja.
Unapofanya biashara hii unajiingizia vipato vya aina tatu kwa wakati mmoja.itakupatia kipato cha rejareja kwa bidhaa unazouza,pili itakupatia bonus za kila mwezi kulingana na jumla ya manunuzi yako na pia inakupatia bonus ya manunuzi ya team uliyotengeneza,biashara tulizozizoea zinaingiza kipato cha rejareja tu,ila hii inakupatia vyote hivi.Pia unaweza endelea jiingizia mshahara kutoka katika kazi uliyoajiriwa wakati ukiendelea jiingizia vipato hivyo vitatu kutoka katika hii biashara.
3 :Inakuingizia kipato hata kama unaumwa au upo likizo.
Utaweza jiingizia kipato hata kama unaumwa au upo likizo kupitia team uliyotengeneza.Hapa ndio faida kubwa katika hii biashara,ajira haina warrant unapougua mwajiri awezi kukuvumilia mwaka mzima,duka lako unapougua ukilifunga hakuna kipato chochote kitakachoingia,lakini hii biashara uugue au hata kama umeamua kwengda likizo bado mfereji wa hela ulioutengeneza kupitia team yako utaendelea kukuingizia pesa.
4 :Inakusaidia kuepuka makato ya kodi.
Katika ajira na biashara za kawaida unalipa kodi kulingana na mshahara au kipato unachoingiza kwa mwaka,mshahara ukiwa mkubwa na kodi inaongezeka,biashara ikiwa kubwa pia kmakato ya kodi yanakuwa makubwa.Hivyo ni vigumu kwa mfanya kazi kuhifadhisehemu ya mshahara wake kwa ajiri ya maendeleo kutokana na makato na nivigumu pia kuanzisha biashara ya duka kama huna uhakika mzungukon utakuawa biashara utakua mzuri kwa sababu TRA watakufirisi.Lakini katika hii biashara TRA utakua unawasikia kwenye redio kwani hawatakuhusu kabisa kupitia biashara hii.
5 :Unaweza ianza biashara hii kwa mtaji mdogo kabisa.
Kila kampuni linalojihusisha na biashara ya mtandao lina utaratibu wake
wa gharama za kuanzia katika biashara hii.Hivyo ni jukumu lako kuangalia ni kampuni gani litakufaa kuanza nalo biashara kwa mtaji ulionao,lakini kitu cha msingi katika hii biashara mtaji wa kuanzia ni mdogo sana ukilinganisha na jinsi mtu anayetaka kufungua duka au biashara nyingine.Pia unauwezo wa kuukuza mtaji wako mpaka ukawa mkubwa kwa mda mfupi kulingana na malengo uliyojiwekea.
Zipo faida nyingi sana zinazohusiana na hii biashara ila kwa leo ningependa niishie hapo.

KUANZA BIASHARA TATIZO SIO MTAJI, FURSA POPOTE PALE ULIPO.


Hallow wapendwa,bila shaka mu wazima wa afya,kwa upande wangu mimi sipo vizuri sana kwani maradhi madogo madogo yananisumbua mimi pamoja na familia yangu,ila kiufupi tunamshukuru Mungu kwani bado anaendelea kutupatia pumzi yake.
Japokuwa nimebanana ila siku ya leo nimeona tujifunze somo hili la ni jinsi gani mtu unaweza kutumia fursa uliyonayo kuanza biashara na sio swala la mtaji.Tatizo la watu wengi hua ni kwamba anatamani kufanya biashara iliyokatika ndoto yake,biashara anayotaka kuifanya ni kubwa inayohitaji mtaji mkubwa na huo mtaji hana hivyo anabaki akisubiri mpaka pale atakapoupata huo mtaji ndio aanze biashara na wakati huo huo hajui huo mtaji ataupata leo,kesho,mwezi ujao au miaka mitano ijayo!!!!!,hivyo anabaki akisubiri mpaka siku hiyo ifike.
Swala la biashara ni swala ambalo kila mtu hua anatamani kulifanya,katika utafiti wangu mdogo nilioufanya,karibia 80% ya watu nilioongea nao wanandoto za kufanya biashara ila anasubiri mpaka pale mambo ya uchumi ykae sawa ndio aanze,huo ni uongo...,tena uongo mkubwa!!,katika uwanja wa biashara huwezi fanikiwa kama utakua na mawazo hayo,mtu anayeanza biashara kwa mtaji wa mdogo ni vyepesi sana kuwa billionare kama atajifunza biashara vizuri na akawa serious na biashara yake,mtu huyu akikaa kwenye biashara miaka mitano atamzidi yule atakayeanza biashara miaka mitano ijayo na akawa ana mtaji unaolingana na yule aliyeanza biashara miaka mitano iliyopita.Hii ni kwasababu huyu aliyeanza biashara kitambo atakua ashakabiliana na changamoto zote katika biashara na atakua anaelewa ni jinsi gani aendeshe biashara yake na kuzikwepa changamoto tofauti na huyo mpya ambaye kila kitu katika biashara kitakuwa kipya kwake.
Faida ya pili atakayoipata mtu anayeanza biashara kwa mtaji mdogo kwamba kadri atakavyozidi kufanya biashara ndio atapata ufumbuzi wa maswali mbalimbali aliyokua hayajui mwanzoni majibu yake na ataweza vumbua biashara mpya zenye faida kubwa kuliko ile aliyoanza nayo.Mimi niliishi na ndoto ya kufanya biashara tangu nikiwa mtoto,nikiwa mtoto nilisema nitafanya biashara nikiwa mkubwa,ila nilipokua nikagundua tatizo halikua umri nikajua kumbe unaweza kuwa mkubwa na bado ukashindwa kufanya biashara,hivyo nikagundua tatizo la watu wengi waliokua(yaani watu wazima) lipo katika mtaji,hivyo nikaanza kutafuta namna ya kuanza kukabiliana na njia gani nitaitumia kuweza kutatua tatizo la mtaji ili nianze biashara.Baada ya kuhangaika kutafuta ufumbuzi wa swali la mtaji lililokua linanisumbua nilikuja kufahamu kuwa tatizo la kuanza biashara sio mtaji ila ni jinsi ya kutafuta IDEA (WAZO) lililosahihi na kuligeuza kuwa biashara kulingana na hali ya kiuchumi utakayokua nayo kwa kipindi husika,hivyo mimi binafsi nilipata wazo la biashara lililoendana na hali ya uchumi niliyokua nayo na nikatengeneza biashara yangu iliyokua inaniingizia sihilingi hamsini Tsh. 50/= kwa kila bidhaa niliyokua naiuza,na ndio hapo nilipogundua kua hata hiyo faida ilikua ni kubwa sana na ingeweza kunifanya niifahamu biashara kwa undani zaidi na ndio ilivyokua.
Kitu kikubwa katika kuanza biashara ni kuangalia fursa gani inayokuzunguka katika jamii uliyopo ambayo inaweza kukuingizia faida yoyote,hapa usiangalie ni jamii gani inayokuzunguka kwani iwe kijijini,mjini,uswahilini,mtaa wa mashefa,iwe ni jamii ya vipofu au viziwi jamii yeyote ile unaweza fanya nayo biashara na ikauingizia faida kubwa (wanafunzi wengi wa vyuo wanaona hawawezi fanya biashara na wanafunzi wenzao kwasababu wanaona hawana pesa).Kitu kikubwa hapa ni kuwa mbunifu na kufanya biashara ambayo itakua tofauti kidogo na ile ambayo kila mtu anaikimbilia,mfano watu wengi wanakimbilia kufungua maduka na kuona ndio biashara pekee.
Katika ubunifu hapa ndio hua nasema ukiwa mbunifu unaweza tumia rasilimali yeyote inayokuzunguka hata kama ni mawe na ukajiingizia kipato,hapa nitauhusisha ule mfano wa story hii.
Mzungu mmoja alikua na mtaji wa shilingi Milioni moja na akataka kufanya biashara itakayompa faida kubwa (super normal profit) kwa kipindi kifupi.
Akaenda kwenye kijiji kimoja akawaambia wanakijiji ananunua Ngedere. So kila mwenye ngedere amletee atamnunua kwa sh.10,000/= kwa ngedere mmoja.
Wanakijiji wakachangamkia fursa. Wakakusanya ngedere kwenda kuuza kwa mzungu. Mzungu akanunua ngedere 50 kwa laki 5. Mara ngedere wakaisha.
Mzungu kuona ngedere wamepungua akapandisha dau. Ngedere mmoja sasa atamnunua kwa sh.15,000/=. Wanakijiji wajatafuta ngedere wakakosa. Akapandisha dau hadi 20,000/=.
Kwa tamaa ya fedha wanakijiji wakatafuta ngedere wakapata 20. Mzungu akalipa jumla ya sh.laki 4, yani 20,000/= kwa kila ngedere.
Mzungu akawa tayari amekusanya ngedere 70 na amebaki na laki moja. Akatangaza sasa atanunua ngedere kwa sh.30,000/= l, wanakijiji wakapagawa. Wakatafuta ngedere wakakosa. Mzungu akapandisha dau kuwa 40,000/= bado ngedere wakakosekana.
Sasa akafikisha dau la 50,000/= wanakijiji kwa tamaa ya fedha wakatafuta na wakafanikiwa kupata ngedere wawili. Mzungu akawanunua na kufikisha ngedere 72. By this time mtaji wa mzungu ulikua umeisha.
Lakini akazidi kutafuta ngedere. Sasa akapandisha dau kuwa 70,000/= kwa ngedere mmoja. Wanakijiji macho yakawatoka. Wakatafuta ngedere wakakosa.
Mzungu akapandisha dau kuwa 100,000/= kwa ngedere mmoja, wanakijiji mate yakawatoka. Tamaa ya fedha ikawakaba. Wakahangaika wee wakakosa ngedere hata mmoja.
Mzungu kuona hivyo akapandisha bei kuwa 150,000/= kwa ngedere mmoja lakini bado ngedere wakakosekana.
Akafikisha sh.200,000/= lakini hakupatikana ngedere hata mmoja. Sasa akaamua kupandisha bei hadi 300,000/= kwa ngedere mmoja.
Wanakijiji wakawaka tamaa. Kufikia hapa wakashindwa kuvumilia. Wakaamua kusaka ngedere kwa kwa udi na uvumba. Usiku na mchana.
Wakakesha msituni lakini hawakuambulia hata ngedere mmoja. Wakasikia kwenye kijiji cha jirani kuna mzee anauza ngedere. Wakaenda kijiji cha pili wakakuta ngedere wengi. Wakauliza bei, yule mzee akajibu ni laki mbili kwa kila ngedere.
Kwa kuwa yule mzungu aliwaambia atanunua kwa laki tatu wakaona ni biashara nzuri ikiwa watanunua kwa 200,000/= wakamuuzie yule mzungu kw 300,000/= watapata faida ya 100,000/= kwa kila ngedere.
Lakini hawakuwa na fedha. Wengine wakaaenda kukopa na wengine wakauza mali zao kama nyumba na ardhi ili wapate mtaji wa kufanya biashara ya ngedere.
Wakanunua ngedere wote kwa yule mzee, wakaenda nao kijijini. Sasa wakawa wanamngojea mzungu ili aje kununua kwao.
Wakasubiri siku ya kwanza hawakumuona, siku ya pili, ya 3, mara wiki, mara mwezi, mara mwaka... hawakuona mzungu wala Mchina.
U KNOW WHAT HAPPENED.
Wale ngedere waliokuwa kijiji cha pili ni wa yule mzungu. Alikua anawanunua kwa wale wanakiiji anakwenda kuwahifadhi kijiji cha jirani kw yule mzee.
Kichwani alijua kbs ipo siku ngedere wataisha na ataanza kuwauzia walewale wanakijiji bila wao kujua, tena atauza kwa bei kubwa.
Yeye alitumia milioni moja kununua ndedere 72.... sasa amekuja kuwauzia wanakijiji walewale kwa laki 2 kwa kila ngedere. Hivyo akapata jumla ya sh.milioni 14.4, Kisha akaondoka na hela zake, akawaachia wanakijiji ngedere wao plus madeni na umasikini wa kutupa.
Huo mfano unaonyesha ni jinsi gani unaweza kuwa mbunifu kwa kutumia fursa iliyopo katika jamii,ukaanza ukiwa na mtaji mdogo na mwisho wa siku ukawa milionnaire.Kikubwa ni kuwa mvumilivu,biashara zote ambazo zinaleta mafanikio watu wengi wanaziogopa ni ngumu mpaka uimudu na ianze kukuingizia faida kubwa inahitaji upitie mengi kwa kujifunza na kuimudu biashara (no gain without pain),biashara ni ngumu na inahitaji myo ndio maana hata wanaofanikiwa katika biashara ni wachache kama vile wanaoweza kukaa katika wokovu.
Anza kutumia fursa inayokuzunguka ili uwe wa kitofauti kwa kutengeneza maisha tofauti ambayo kila mtu atayatamani.
Asanteni kwa wote ambao mmefanikiwa kuisoma makala hii mpaka mwisho na naamini umejifunza kitu,kwa ulichojifunza usiende omba ushauri kwa mtu ambaye hana uelewa wa biashara,na hata kama ni mfanyabiashara sio mfanya biashara yeyote,hatakusaidia kwasababu hatakua na uelewa wa swala ulilomuuliza ila atatumia mawazo yake tu ambayo mwisho wa siku yatakukatisha tamaa,omba ushauri kwa mtu unayetamani kufanya nae biashara au kufanya biashara kama yake,huyu atakusaidia

Tuesday, July 14, 2015

NAMNA YA KUPANGA MKAKATI WA MFANIKIO MWAKA HUU

Kwanza napenda nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema kwa kuweza kutufikisha siku hii ya leo,pili nawashukuru wazazi wangu kwa kuweza kunileta duniani isitoshe wameweza kunilea kwakipindi chote sikuwa mzigo kwao bali walivumilia mapungufu yangu nakuweza kuninyoosha katika njia ilio njema mwisho nawashukuru wadogozangu kwa kuonyesha ushilikiano wa hali na mali katika maisha yetu ya kila siku.

Kwa kuanza napenda kukukaribisha ndugu yangu msomaji katika makala yangu hii ya ujasiliamali, juu ya mada MKAKATI WA MAFANIKIO MWAKA HUU. Kwanza tujiulize ujasiliamali ni nini? ujasiliamali ni hali ya mtu kujitoa kwa hali na mali kutumia rasilimali zilizopo ili kuweza kujitengenezea kipato cha ziada.

 Kabla yakuendelea Ebu tujiulize maswali yafuatayo:
(i) wewe ulie ajiliwa mshahara unaopata katika ajila yako unakutosha?
(ii) je unamudu maitaji yako ya kila siku?
(iii)mshahara wako unatosha kulipa madeni ulio nayo?
(iv) Kama mshahara wako kwa sasa haukutoshi je ukistaafu ukaanza kulipwa pension ambayo ni nusu mshahara itakutosha?
(v) Mshara wako unapanda baada ya muda gani na unapanda kwakiwango unacho itaji?
(vi) Je mshara wako unaendana na thama ni ya elimu yako?
(vii) Mshara wako unakutana na mshara mpya kila mwezi?

Baada ya kujiuliza maswali ayo kama jibu la maswali yote ni NDIO basi iyo kazi ni nzuri husiiache endelea nayo Lakini kama ni HAPANA basi jifikilie mala mbilimbili ili utengeneze plan B ili upate utatuzi wa maswali yako. Kwa wale ndugu zangu amabao hatuna ajila je maisha yetu yakoje? Je tuna shughuli za kujiingizia kipato? Natumai tunazo ila sithani kama kipato tunacho pata kinatosha.

 Nimekutana na vijana wengi hasa wale ambao wana uchu wa maendeleo kila nilie kuwa naongea nae analalamikia serikali kwa kuwatelekeza bila ajila. Lakini niliwaoji kuwa baada ya serikali kuwatelekeza wamechukua atua gani ili kuakikisha wanajikomboa na umaskini,apa kila mtu alikuwa na jibu lake hasa la kukatisha tamaa ya maisha. Ila asilimia 90 ya vijana nilio ongea nao wana kitu kimoja ambacho ndio tatizo kubwa ambalo ndio limenisukuma mpaka kuamua kuandika makalia hii.

Ndugu zangu MTAJI limekuwa tatizo kubwa kwa watanzania tulio wengi,tatizo ata wale walio kwenye ajila pamoja na kuwa wana mitaji walau ya kudunduliza lakini kutokana na ratiba zao zinazotokana na kubanwa na waajili wao bado hawawezi kupata muda wa kutengeneza kipato cha ziada.

Sasa ndugu yangu napenda nikwambie kitu, kwa mtu mwenye nia na uchu wa kutimiza ndoto zake swala la MTAJI sio tatizo,unaweza kuona kama natania ila ndio ukweli wenyewe. Tatizo la watu tulio wenge tunawaza biashara ya zamani ndio maana tunawaza mitaji mikubwa, ukimwambia mtu mtaji anawaza kuanzia milioni tano au kumi kwenda juu. Napenda nikwambie kitu mtaji mkubwa kiasi icho cha mamilioni ya shilingi huwezi kukua ata siku moja badala yake ukikaa kwenye mzunguko muda mrefu katika biashara ni miaka miwili tu.

 Je unaweza kuamini kuwa TSH 26,000/= (shilingi elfu ishilini na sita) kuna watu wanaweza kuona kama natania vile, ila ninachokiandika ninamaanisha. Ebu tujiulize ninani ambae anaweza kukosa kiasi iki cha pesa? Katika karne hii ya 21 kwa mtaji huu unaweza kubadili maisha yako mpaka ukashangaa? Kwamtu ambae yuko tiali na anadhamila ya dhati katika kubadili maisha yake basi nipigie ili nikupe mbinu za kimaisha kwakutumia 26,000/= tu. Katika biashara hii mwajiliwa anaweza kuifanya kama ziada ili iweze kumtatulia maswali yake ya apo juu vilevile kwa yeyote alie tiali kuifanya kwa muda wake wote ili nae atimize ndoto zake mwisho wa siku nae atengeneze ajila kwa wengine basi nakukaribisha ili nikuonyeshe muujiza wa 26,000/= acha kufikilia mitaji mikubwa ambayo itakutesa na kukukondesha bule

KAMA UNA MATATIZO YA MAUMIVU YA MGONGO BASI HII NDIO TIBA YAKO

Maumivu chini ya mgongo hutokea sana kwa kila mtu na mara nyingi huwa ni chini ya mbavu za nyuma na juu ya miguu na huweza kusambaa mpaka kwenye kiuno na hips. Maumivu haya usikika na kuumiza pale unapoinua kitu, kusimama, kukaa kwenye kiti au kutembea na usababishwa na matumizi kupita kiasi ya misuli, kano, mishipa na neva za mgongoni au kwenye pingili za uti wa mgongo kutokana na kugandamizwa sana. Pia huweza kusababishwa na kuvunjika au maambukizi katika pingili za uti wa mgongo, umri mkubwa, saratani ya mifupa,uzito kupita kiasi mawe katika figo, uvimbe na saratani ya kizazi .

TIBA YAKE
Unaweza kujifanyia huduma ya kwanza mwenye kwa kutumia dawa za kupunguza maumivu, kuchua, kuweka barafu au joto kiasi, kufanya mazoezi mapesi na kukaa au kulala mtindo unaopunguza maumivu.
Punguza uzito, epuka kuanguka mara kwa mara na usibebe mizigo mizito kupita kiasi au kaza sana tumbo unaponyanyua mizigo mizito
Usizunguke wakati au kuinamia mbele wakati umebeba vitu vizito
Usisimame kwa kubana miguu muda mrefu
Maumivu yakizidi fika hospitali ili kufanyiwa uchunguzi na vipimo vya X rays, CT scan na MRIs kwa ajili ya kugundua tatizo na kupata tiba zaidi.

YFAHAMU MAAJABU YA MAJANI YA MILITARIS KATIKA TIBA MBALI MBALI

Majani haya yanajulikana kwa kuitwa "majani ya maajabu kutoka mbinguni" kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutibu na kukinga magonjwa mengi kama yafuatayo:
-Asthma
-Allergy
-kikohozi sugu na mafua yasiyopona
-huongeza kinga ya mwili
-humaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
-hurekebisha tatizo la figo
Kutokana na upatikanaji wake kuwa mgumu, wataalamu wa tafiti mbalimbali za Afya waliamua kuyaweka majani hayo katika mfumo wa vidonge ili iwe rahisi kila mtu mwenye matatizo hayo aweze kupata. Dozi yake moja ina vidonge 60 na hutumika mwezi mzima.
Waweza wasiliana nasi ili uweze kujipatia au umsaidie ndugu yako mwenye matatizo hayo.

JE WEWE UNAHITAJI PESA?BASI USIWE NA PAPARA

1. UNAFIKIRI TAKUKURU ITAMALIZA JANGA LA RUSHWA MAKAZINI?
2.UNAFIKIRI MIGOMO NDO SULUHISHO LA MISHAHARA MIKUBWA HAPA TANZANIA?
-Rushwa haiwezi kuisha ni kwa sababu zifuatazo:-

1. Wafanyakazi ni wavivu sana. Kwani yeye alifikili akipata ajira basi pesa zinamtembelea. Hahaha pole km ulikua na wazo kama hilo. Wengi wafanyakaxi wana chezea utajiri mkubwa hapa duniani ambao ni muda. Muda ni kitu muhimu sana hapa duniani katika kutafuta mafanikio.

Acha kutumia muda wako vibaya kwa kuangalia tamthilia,dvds, na kushinda saloon. Jifunze kutengeneza pesa ya ziada baada ya kazi. Hizo rushwa unazo kula hizo ndizo laana zinazokufanya uendelee kuwa masikini bila kujua pesa inaenda wapi.

~MUNGU HUTUNUKU MTU ATAFUTAYE PESA KWA MAPENZI YAKE~


2. Wafakazi wanapenda mafanikio ya haraka. Mtu atafutaye kwa mafanikio ya haraka kamwe mafanikio kwake ni kidogo. Mtu anataka aanze leo biashara kesho kutwa awe tajiri??!! Acha tabia hiyo...utajiri unahitaji uvumilivu. Ndio sababu kubwa ya wafanya kazi wamekata tamaa..wao wanajifanya hesabu wanajua sana yani hawataki hasara katika biashara. ~You can not create a successful company without creating two or more failure company~ Jifunze kuwa wavumilivu katika biashara .
Inaniuma sana kuona mtu ameridhika na pesa ndogo ya mfukoni anayopata kila mwezi. Hivi kweli wewe sio mbunifu kiasi hicho??
HASARA YA RUSHWA
1. Kuto urithi ufalme wa mbiguni
2.Kutofanikiwa katika maisha yako pesa hio sio halali
3.Kufukuzwa kazi na kuitesa familia yako.
ACHA KUPUZIA FURSA ZA BIASHARA EWE MFANYAKAZI, HIZO FURSA NDIO DAWA TOSHA YA WEWE KUTOKULA RUSHWA.
~~INANIUMA SANA DAKTARI UNAKULA RUSHWA BAADA TU YA UPASUAJI MGONJWA ANAKUFA~~
HIZI NI LAANA KWA NINI USIUZE HATA NYANYA KULIKO KUWEKA DOA HILO KWA MUNGU.
Mungu okoa maisha ya hawa na kuwafanya watambue fursa zingine za biashara. Amina

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE

 Upungufu wa nguvu za kiume ni Ile Hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa na pia hushindwa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha
Tatizo hili linawakabiri wanaume wengi duniani karibia 46% ya wanaume wanasumbuliwa na tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume na hivyo kuwa na athari nyingi sana na kusababisha ndoa za watu kuvunjika na idadi ya uchepukaji kuongezeka
Mara nyingi mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume anakua Hana uwezo wa kumridhisha mwanamke Kwenye tendo la ndoa na hivyo kuwa chanzo cha mahusiano na ndoa nyingi kuvunjika
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Vyanzo vya upungufu wa nguvu za kiume ni vingi sana navyo ni ÷
1)UPIGAJI PUNYETO MARA KWA MARA
2)MSONGO WA MAWAZO
3)MAZINGIRA YASIYORIDHISHA KUFANYA TENDO LA NDOA
4)ULEVI ULIOKITHIRI
 5)KUPOOZA/KUUGUA STROKE
6)KUUGUA KISUKARI KWA MUDA MREFU
7)ULAJI MBOVU WA VYAKULA HASA VYAKULA VYENYE MAFUTA MENGI
8)KUTUMIA DAWA ZA KEMIKALI eg, viagra, estrogen, diuretic, tranquillizers, digoxin, NK 9)KUUMIA KWA KINENA (GROIN)
10)KIWANGO KIDOGO CHA TESTERON
11)KUUGUA CHANGO LA KIUME AU NGIRI
 ~DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Mwanaume anayekabiliwa na tatizo Hilo la nguvu za kiume huwa na Dalili zifuatazo
��HUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA ~huwa Hana uwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa, tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo
��KUTOKUA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME ~Hali hii hutokea kutokana na kutokuwepo kwa mzunguko wa damu wa kutosha Kwenye uume
��UUME HUSINYAA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ~uume wa mwanaume husinyaa na kuwa mdogo na kurudi ndani hivyo huwa Hana uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa, Hali hii husababishwa na upigaji punyeto kwa muda mrefu
��KUFIKA KILELENI MAPEMA ~mwanaume hushindwa kufanya mapenzi kwa dakika hata 15 hivyo huwahi kupeez ndani ya dakika 5
��KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ~mwanaume hushindwa kurudia mzunguko wa pili hivyo akifika mzunguko wa kwanza  anakuwa Hana uwezo wa kuendelea, Hali hii husababishwa na kutokua na msukumo wa damu wa kutosha
 MADHARA YA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME
~KUSABABISHA KUPATA UKIMWI ~hii hutokana na wanawake kutokuweza kuvumilia tatizo hili na hivyo kutoka nnje ya ndoa kutimiziwa haja zake
~KUWA MLEVI ~Mara nyingi wanaume wenye tatizo hili hukata Tamaa mapema na kuamua kujihusisha na pombe kwa madai ya kupunguza stress
~KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO AU NDOA ~mwanamke hushindwa kuvumilia tatizo hili na hivyo kuamua kuvunja mahusiano au ndoa kwa madai ya kutopewa haki yake ya msingi
~KIFO ~baadhi ya wanaume hufikia hatua ya kujiua kutokana na kusumbuka sana na tatizo hili kwa muda mrefu hvyo hujiona Hana thamani
 JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU
 Jambo zuri ni kuzingatia afya yako na kujiwekea balance diet
 ��KULA UGALI WA DONA KILA SIKU
 ��KUNYWA SUPU YA PWEZA MARA KWA MARA
 ��FANYA MAZOEZI MARA KWA MARA
 ��EPUKA VYAKULA VYENYE MAFUTA
 ��ACHA KUJIPIGA PUNYETO
 ��ACHA KUTUMIA VIAGRA
 ��PUNGUZA KITAMBI NA MWILI
 KAMA UNA TATIZO HILI KARIBU UPATE TIBA TUNA DAWA NA KIRUTUBISHO  CHA KUMALIZA TATIZO HILO LA NGUVU ZA KIUME


VYAKULA VYENYE SUKARI NI CHANZO CHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME



Ndugu karibu sana katika makala zangu ambazo huzungumzia chanzo cha tatizo, namna ya kuepuka na kutibu kabisa hilo tatizo bila kukaa kuhangaikia kutibu dalili ya ugonjwa. Ni dhahili kuwa maisha yetu ya kifahari tumekuwa tunakula vyakula vyakutosha lakini vyakula hivi si vyakujenga mwili bali vinakuja na magonjwa mengi ndani yake. Siwezi kuilaumu jamii kwa kuendelea kula vyakula hivi bila kuwa na kiasi bali ni mfumo wa afya kwa ujumla ambayo inaweka juhudi kubwa kubaini magonjwa na kutibu dalili na siyo kuweka jitihada kubwa katika kutoa elimu ya namna ya kujikinga na magonjwa na kushughurika na chanzo au mzizi wa ugonjwa. Hivyo ni jukumu letu kuhakikisha jamii inaepukana na magonjwa haya kwani tukifanya hivyo utamaduni huu wa kutuletea vyakula vinavyo dhoofisha miili yetu na hatimaye wanaleta misaada ya matibabu inayo lenga kubaini magonjwa na sio kutoa elimu ya kuzia na kupambana na vyanzo hasa vya tatizo.
Baada ya kusema hivyo basi ningependa kwa siku ya leo nizungumzie kidogo madhara ya vyakula vyenye sukari nyingi na nguvu za kiume ambazo hadi sasa wanaume ambao hawawezi kutungisha mimba idadi inaongezeka. Kumekuwa na usemi kuwa upungufu wa nguvu za kiume unahusishwa sana na kuzeeka kwa mtu. Ni dhahiri kuwa kuzeeka kwako sio chanzo cha wewe kupata upungufu wa nguvu za kiume na hutakiwi kuhusisha bali ni tabia yako inayo ambatana na ulaji wa vyakula na unywaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi,unywaji pombe,uvutaji sigara, utumiaji wa madawa ya hospitali bila ushauri maalumu na pia utumiaji madawa ya hospitali pale unapotibu ugonjwa flani kwa mfano dawa za kifafa, dawa za usingizi na dawa za dege dege,utumiaji wa madawa ya kulevya na kujichua kila siku. Hivyo maisha yetu ya kila siku ndio chanzo cha ukosefu wa nguvu za kiume
NINI MCHANGO WA VINYWAJI VYENYE SUKARI NYINGI NA VYAKULA VYA VIWANDANI KATIKA UPUNGUFU WA NGUVU ZAKIUME
Tumekuwa tukiishi mazingira ya kula vyakula vya sukari kila siku kwa mfano, ukiamka asubuhi unakula mikate, tafiti zinasema kuwa mkate una aina ya wanga iitwayo amylopectin A ambayo endapo ikimeng”enywa ni chanzo cha sukari nyingi sana kwenye damu. Pia unatakiwa kufahamu kuwa slice mbili za mikate ni sawa kama umeramba vijiko viwili vya sukari ya mezani yani sukari nyeupe. Hivyo mikate ni moja ya vyakula vyakuepuka sana kama unahitaji kuwa na afya njema na mwenye nguvu za kiume tele. Pia imekuwa ni kawaida unaamka asubuhi na soda kwani hii ni ishara kuwa tayari kiini mahususi kwenye soda ambacho huitwa ASPARTAME kimesha kuaathiri na umekuwa addicted na vyakula vya sukari. Aspartame ni kiambata mahususi kwenye vinywaji vya coka na hivyo kimewekwa humo ili kukufanya uwe na hamu ya kunywa soda mara kwa mara au kula vyakula vitamu vitamu. Kiini hiki huenda kwenye ubongo na kujishika kwenye vipokea taarifa yani receptors na kutoa taarifa ambazo zina angamiza mwili wako.
Sukari inapozidi mwilini inasababisha uchovyaji wa insulin kwa wingi ambayo hupunguza kiasi cha testosterone ndani ya ndamu na hatimaye kupunguza nguvu na shauku ya tendo la ndoa. Kulingana na utafiti uliofanywa kwa kutumia kipimo cha sukari kiitwacho ORAL GLUCOSE TORELANCE TEST AU OGT kilionesha kuwa wanaume wenye sukari nyingi kwenye mzunguko wa damu walionesha kiwango kidogo cha kichocheo cha nguvu za kiume kiitwacho testosterone ambacho hushughurika na sifa za kiume,kutengeneza mbegu za kiume na kuimarisha misuli bila kusahau nguvu za kiume. Ni dhahili kuwa ongezeko kubwa la wanaume ambao wana matatizo ya nguvu za kiume inasababishwa na ulaji na unywaji wa vyakula vyenye sukari nyingi. Hivyo basi ni dhahiri kuwa kama una tatizo hilo linaweza kukupelekea kukosa mototo kwani hata manii ya kiume kutengenezwa kwake itakuwa ni kwa shida sana. Epuka hivi vyakula na jua namna gani unaweza rudisha afya yako mwanzo kwa kutumia vyakula na virutubisho mahususi vinavyo ondoa tatizo la nguvu za kiume.
Pia vyakula vya sukari nyingi hupunguza kwa hali ya juu vichocheo vya kujenga mwili yani GROWTH HORMONE ambayo hutolewa na tezi ya pituitary wakati wa usingizi mzito. Kichocheo hiki cha kujenga mwili yani GROWTH HORMONE kinafanya kazi kubwa ya kutumia mafuta yaliyohifadhiwa kwa matumizi ya ziada, pia growth hormone huimarisha misuli ya mwili na kuimarisha nguvu za kiume. Hivyo kupungua kwa kichocheo hiki husababisha mrundikano wa mafuta mabaya na kutengeneza nyama zembe yani BELLY FAT, kuongezeka uzito,kupata kizuizi cha insulin na hatimaye kisukari aina ya pili.
Vyakula vya sukari nyingi hukufanya muda wote ujihisi umechoka na huna nguvu ya kufanya kazi yoyote na wengine hufikiria kuwa wanasumbuliwa na ugonjwa wa malaria. Hii ni kwa sababu sukari nyingi kupita kiasi inasababisha utoaji wa insulin kuongezek a ili kupunguza sukari hiyo na matokeo yake kusababisha njaa na shauku ya kula mara kwa mara kwa sababu ya kupungua kwa reptin hormone inayotolewa na seli za kuhifadhi mafuta. Pia sukari nyingi huzuia utengenezwaji wa kichocheo kiitwacho OREXIN ambacho husafirisha taarifa na kuongoza kitendo cha ulaji na kukufanya uwe na nguvu ya kuwa macho na kufanya kazi zako. Sasa orexin inapopungua inasababisha muda wote kukaa umechoka na unasinzia ovyo ovyo. Ni dhahiri kuwa inaweza kuwa unasema hii makala ni miongoni mwa waathiriwa wa sukari nyingi kwani uzito umekuzidi,kitambi,unasinzia ovyo ovyo na muda wote umechoka. Usihofu na usikate tama chakula cha matunda na mboga mboga ndio suluhisho lako kama wewe huwezi kutumia hivi basi jitahidi kutafuta virutubisho vyenye kurudisha afya yako upya bila usumbufu kabisa.
Pia sukari nyingi kwenye damu husababisha msongo wa mawazo sana na hatimaye kusababisha utolewaji wa vichocheo vya CORTISOL ambayo husababisha ulaji ovyo wa vyakula wa bila mpangilio. Mtu kama huyu utakuta unakula pale pale baada ya muda mfupi tena njaa. Hivyo tujifunze namna gani sasa unaweza kuirudisha afya yako bila tena kuendelea kuongeza sumu mbali mbali mwilini. 
Napenda nikupongeze msomaji wangu ni jukumu lako kujua nini cha kufanya kama wewe bado ujafikia ku athiriwa na tatizo hili. Hivyo basi nina imani utailinda afya yako na kuipenda. Chakula cha mimea na matunda kinakuweka mbali na dawa hizi wapenda kwani tusipende kula vyakula vyenye nembo ya kuisha muda wake. Kwa Yule tayari ameshakubwa na tatizo hili kwa sababu ya matumizi ya sukari nyingi napenda kukuambia kuwa CHAKULA PEKEE NI TIBA KABISA NA KUJIEPUSHA NA DAWA ZA KILA SIKU UNAZO NUNUA AMBAZO HAZITIBU TATIZO. Kama huwezi kupangilia chakula chako vizuri na namna ya kurudisha tatizo lako unaweza tumia viutubisho vinavyo ondoa tatizo na kurudi kuwa kijana. Kama ukihitaji tunaweza kukuelekeza namna ya kukipata au piga simu

Disqus Shortname

Comments system

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | coupon codes