Mwaka 2010 kampuni hii iliweka mikakati kuja kuisaidia AFRICA katika nyanja ya KIUCHUMI na kutokomeza MAGONJWA SUGU. Ndugu yangu kama wewe unahitaji pesa na kutimiza ndoto karibu utumie bidhaa hizi.
Kampuni hii ilikaa chini na kupanga MIKAKATI chini ya usimamizi wa Ndug ZHANG SIMIN ambaye ni kijana mdogo aliyezaliwa mwaka 1969 na ni tajiri mkubwa sana china na anae miliki kampuni kubwa bora china nzima.
Bwana ZHANG SIMIN alikaa chini na kuangalia makampuni mengine yaliyoko africa yalikuja na mtazamo gani na udhaifu gani katika bidhaa na biashara. Iliingia africa ikajenga makao makuu kila kanda GHANA,SOUTH AFRICA,KENYA,TANZANIA na Ikasambaa nchi zingine.
Watu wengi tunajiingiza katika biashara ya mtandao bila kutengeneza msingi mzuri wa biashara na bila kuchunguza kampuni unayofanya nayo kazi. Leo hii nakupa siri ya utajiri iliyopo neptunus haijagundulika.
1. Ukisha jiunga utaruhusiwa kutumia bidhaa za neptunus kuuza kwa watu na kujipatia faida ya reja reja 20%
2. Unaruhusiwa kudhamini watu wengi kadri uwezavyo kwani hao watu watalipwa na kampuni sio wewe. Hivyo wewe toa elimu kadri uwezavyo na uwafundishe hao wafanye biashara. Kampuni hii itakulipa kwa watu ulio wadhamini kwenye biashara kama manager wa team yako.
3. Utalipwa bonus kila mwisho wa mwezi asilimia 5-45 ya PESA ULIYOTUMIA KUNUNUA BIDHAA MWEZI HUO WEWE MWENYEWE. Pia utalipwa asilimia 0-45 ya pesa ambayo team yako imetumia kununua katika mwezi huo. Hapa ndipo kuna utamu rahaaaaaa ndugu zangu. Hivi kweli ndoto zako za kuwa manager zinatimia kwa kutumia 26000/=
[22:23, 4/30/2015] Frank Ndyanabo: 4.kampuni hii kadri unavyopanda cheo/level itafika kipind utapunguza nguvuvza kununua mzigo.kwa mfano.kampuni zingine unavyokuw na kipato kikubwa na gharama za kukaa katika level zinaongezeka
5.pia mashart ya kupanda level kuongeza kipato ni marahisi kabisa hata mtu mwenye kipato kidogo anaweza kufanya biashara akafanikiwa
6.pia kampuni itakulipa m.20 kama kiinua mgongo kwa kufanya kazi ndani ya mwaka mmoja na mwez mmoja na ukafika ngazi ya7.
7.pia kampuni itakupa kiinua mgongo tena cha sh m.40 ukifanya nayo kazi kwa miaka miwili na ukifika level ya 8
>>JUMLA YA KIINUA MGONGO CHAKO NI M.60 NDANI YA MIAKA MIWILI HII PESA NI MBALI NA BONUS NA FAIDA YA REJAREJA.