Tuesday, July 14, 2015

YFAHAMU MAAJABU YA MAJANI YA MILITARIS KATIKA TIBA MBALI MBALI

Majani haya yanajulikana kwa kuitwa "majani ya maajabu kutoka mbinguni" kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutibu na kukinga magonjwa mengi kama yafuatayo:
-Asthma
-Allergy
-kikohozi sugu na mafua yasiyopona
-huongeza kinga ya mwili
-humaliza tatizo la upungufu wa nguvu za kiume
-hurekebisha tatizo la figo
Kutokana na upatikanaji wake kuwa mgumu, wataalamu wa tafiti mbalimbali za Afya waliamua kuyaweka majani hayo katika mfumo wa vidonge ili iwe rahisi kila mtu mwenye matatizo hayo aweze kupata. Dozi yake moja ina vidonge 60 na hutumika mwezi mzima.
Waweza wasiliana nasi ili uweze kujipatia au umsaidie ndugu yako mwenye matatizo hayo.

0 comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments system

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by Free WordPress Themes | Bloggerized by Lasantha - Premium Blogger Themes | coupon codes